Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2014

FAHAMU NA KABILI MATATIZO ANAYOKUMBANA NAYO MPENZI WAKO KIPINDI CHA HEDHI

1.Kutokwa na damu nyingi kupita kiasi  Hapa mwanamke hutokwa na damu nyingi na kwa kasi kuliko kawaida na hubadilisha pedi au kitambaa mara kwa mara.      Hapa jitahidi kumkumbusha mpenzi wako kuwa msafi zaidi, pia mpe vyakula na matunda yenye madini ya chuma ili kuongeza damu mwilini   2.Siku zinazobadilika  Hii hutokea pale mwanamke anapopata siku zake mapema au kuchelewa hivyo kutokutambua tarehe maalumu.       Hapa jitahidi kufuatilia tarehe za mpenzi wako vizuri na kumkumbusha kuwa makini, pindi muda unapokaribia. 3.Maumivu makali wakati wa hedhi Hii husababishwa na kusinyaa na kutanuka kwa ukuta wa mimba ambao hutolewa sambamba na damu inayotoka.       Hapa jitahidi kumtuliza na kumliwaza mpenzi wako kwa kumkanda na kitambaa chenye maji ya vuguvugu maeneo ya tumboni mwake kwa taratibu zaidi kupunguza maumivu, pia yakizidi sana mshauri kwenda kwa daktari au kutumia...

AINA MBALIMBALI ZA JUICE ZA MATUNDA, NA FAIDA ZAKE KAMA DAWA MWILINI

Matunda ya asili ni tiba asilia. Pia mchanganyiko wa matunda haya asilia huweza kutengeneza juice tamu ambayo pia huweza kuwa tiba asilia. Zifuatazo ni baadhi ya Juice ambazo unaweza tengeneza wewe mwenyewe hapo nyumbani na zikawa ni kama tiba kwako; TUFAHA NA TANGO LA KAWAIDA Juisi yenye mchanganyiko wa matunda haya huondoa harufu mbaya mdomoni na hupunguza joto la mwili. CHUNGWA, TANGAWIZI NA TANGO Juisi yenye mchanganyiko wa matunda haya hung’arisha rangi ya ngozi na kuifanya kuwa laini. Pia hupunguza joto la mwili. Kwa wale wenye matatizo ya kuwa na ngozi kavu, juisi hii itawasaidia sana. NANASI, APPLE NA TIKITIMAJI Juisi yenye mchanganyiko wa matunda haya hufanya kazi ya kuondoa chumvi nyingi mwilini, husafisha kibofu cha mkojo na figo. Juisi hii ni nzuri kwa wale wenye matatizo ya kibofu na figo au wanaotaka kujikinga na magonjwa hayo. APPLE, TANGO NA ‘KIWI’ Juisi yenye mchanganyiko wa matunda haya hung’arisha rangi ya ngozi. Kiwi ni ...

FAHAMU MAMBO MAKUU YANAYOKWAMISHA MAENDELEO YAKO KIUCHUMI

Ni dhahiri kwamba tupo kwenye ulimwengu wa karne ya 21, ambao unamabadiliko mengi sana kisayansi na kitekinolojia. Mabadiliko haya hatuna budi kuendana nayo ili kuweza kufanikiwa kiuchumi. Zipo changamoto na mambo mengi ambayo huweza  kukuzuia wewe kufanikiwa kiuchumi.Mambo hayo ni kama yafuatayo; 1. Wewe mwenyewe, NDIYO, kufanikiwa au kutokufanikiwa kwa mtu kiuchumi kunachangiwa na yeye mwenyewe na wala si mtu mwingine. 2.Mfumo wa elimu ambao unakunyima uwezo na elimu ya vitendo zaidi hivyo mtu kushindwa kujiajiri katika mazingira yake. 3.Uvivu wa kujishughulisha katika shughuli za uzalishaji mali na kupenda starehe kuliko kujitafutia maendeleo kiuchumi. 4.Marafiki zako wenye fikra potofu juu ya maendeleo. Hawa huchangia kwa kiasi kikubwa kutofanikiwa kwako kiuchumi. 5.Sheria changa za serikali ambazo haziwapi kipaumbele wajasiriamali wadogo wadogo kama wamachinga. Je unafahamu SABABU zingine??usisite kutoa maoni yako hapa chini maana ...

10 DIFFERENCES BETWEEN ''WIFE MATERIAL'' and "JUST NORMAL GIRL"

Recently there has been a lot of characteristics to classify, a woman who fit to be married by any man, and just a girl who is cute but has no qualification to be married by any man. The following are the differences; 1.Wife Material woman is responsible for all the matter concerning her Man and his whole family.While a normal girl is less responsible. 2.Wife material woman is always confident on herself and her Man because, she understand him better,While Normal girls are always jealous and lack self confident. 3.Normal girls just wanna have Fun and never think for future.Wife material always think far on building her strong family in future. 4.Normal girls are always depending on her Man for every financial support, while Wife material always try to establish new ways to find money for herself and her Man. 5.Wife material always have strong goal in relationship, while normal girls think on getting this one and dump the other one. 6.Wife material is al...

FAHAMU SIRI MUHIMU KUKUWEZESHA KUFIKIA MAFANIKIO YAKO KIUCHUMU

Tupo kwenye ulimwengu wa karne ya 21, ambao kila kitu kinahitaji gharama za pesa, Ukiwa unahitaji familia, mke, watoto, biashara, matibabu, nyumba, gari, n.k basi huna budi uwe na pesa ili ikuwezeshe kumudu gharama hizo. Mafanikio kiuchumi yanahitaji mtu anaejielewa vizuri, na zifuatazo ni SIRI kubwa ambazo zitakuwezesha kujikwamua kiuchumi; 1.Akili ya Biashara; ndiyo siri kubwa katika mafanikio yako kiuchumi ni akili yako kibiashara, Siku zote wanaofanikiwa kiuchumi ni wale wenye uwezo wa kutumia fedha ndogo ili kuzalisha kiasi kikubwa.Jaribu kuweka akiba ili uwekeze kuliko kutumia fedha nyingi kwa starehe. 2.Kuweka akiba, itakayokuwezesha kuwekeza. 3.Kufanya kitu ambacho unakipenda. Kumbuka siyo kila alichofanya mwenzako akafanikiwa ndio hicho na wewe ukifanya utafanikiwa. Fanya kitu kutoka moyoni na utafanikiwa zaidi. 4.Ubunifu. Ndio, kuwa mbunifu ndio silaha kubwa ya kufanikiwa kiuchumi.Fikiria njia tofauti ambayo itakutambulisha wewe, tofauti na wengi...

HEDHI(MATATIZO NA JINSI YA KUYATATUA KWA NJIA ASILI)

1.Maumivu ya tumbo ambayo husababishwa na kutanuka na kusinyaa kwa misuli ya tumbo la uzazi(uterus). -Jaribu kutumia kitambaa chenye maji ya vuguvugu kukanda tumbo. Hii imesaidia wanawake wengi sana kupunguza hali hii ya maumivu. 2.Utokaji wa damu(menstrual bleeding) unaweza sababisha ukosefu wa madini ya chuma, ambayo yatakusababishia maumivu ya tumbo.Hivyo unashauriwa kutumia vyakula vyenye madini ya chuma kwa wingi ili kuondoa tatizo hili. 3.Maumivu ya mgongo ambayo huweza kusababishwa na msinyao wa uterus, hivyo unashauriwa, kunywa maji mengi na kufanya mazoezi 4.Ukosefu wa hamu ya kula na kujisikia vibaya kwa ujumla. Hapa unashauriwa kula vyakula vyenye protein na wanga kwa wingi ili vikupe nguvu. 5.Kutapika ambapo  husababishwa na mabadiliko ya homoni mwilini mwa mwanamke.Unashauriwa kutumia vyakula vyepesi na matunda kwa wingi. 6.Maumivu ya matiti ambayo husababishwa na mabadiliko ya homoni mwilini. Hapa unashauriwa kuyafanyia massage kido...

ANGALIA VIDEO YA SHOW ALIYOFANYA T.I(Serengeti Fiesta 2014)

wengi wanasema jamaa alipiga show nzuri na yakupenda machoni pa wanaHip Hop na wanakubali sana jamaa alivyokamua kwenye Serengeti Fiesta 2014. Ila kwa upande mwingine, wadau wansaema jamaa alizingua sana na bora hata aliyofanya Davido kutoka Nigeria Kuliko alichokifanya T.I. Je unataka kuona na kudownload video ya show hyo? Click Link Below. BONYEZA HAPA KUANGALIA:Video ya Show ya T.I kwenye Serengeti Fiesta 2014

ZIFAHAMU FAIDA 15 ZA NANASI KAMA DAWA MWILINI

NANASI  ni  tunda  lenye  ladha  nzuri. Mbali  na  kutumika  kama  tunda  ama  juisi  yake  kutumika  kama  kinywaji, tunda  la  nanasi  lina  faida  mbalimbali  kwa  afya  ya  mwanadamu.   Baadhi  ya  faida  hizo  ni   pamoja  na  : i. Nanasi ina vitamini A,B na C na pia ina madini ya chuma, calcium, copper na phosphorous ambayo  yote  ni  muhimu  sana  katika  afya  ya  mwanadamu. ii. Tunda hili husaidia kutengeneza damu   iii. Nanasi  husaidia  kuimarisha mifupa , meno, neva na misuli (muscles). iv. Tunda  la  nanasi  hutibu matatizo ya tumbo.   v. Hutibu  matatizo  ya  Bandama   vi. Hutibu  matatizo  ya   Ini vii. Husaidia  kusafisha   Utumbo mwembamba   ...