Skip to main content

Posts

Showing posts from November, 2014

NI RAHISI, PATA ZAIDI YA 50000/= KWA SIKU KWA BIASHARA MPYA MTANDAONI,BOFYA KUJUA ZAIDI

TZ CashLineUp Network Marketing ni mtandao ambao unakuwezesha kujiinua kiuchumi mahali popote ulipo Tanzania endapo tuu utakua na vitu vichache ambavyo ni Email, Internet kupitia Simu au Computer na akaunti ya Mpesa tuu. TZ CashLineUp Network marketing ni mtandao ambao mtu unajiunga kwa TSH 12000/= tuu, yaani shilingi efu kumi na mbili tuu.Ambayo hulipwa kwa kutumia Mpesa kwenda namba ambazo Sponsor au aliyekualika kwenye mtandao atakutumia. Unapolipa kiingilio hiki kwa mara moja tuu, utapewa Codes, au tarakimu ambazo utazitumia kufungua account yako mpya kwenye mtandao huu. Kufungua account ni rahisi sana na inahitaji, email, namba ya simu, jina lako kamili, Jina ambalo utapenda kutumia, Codes ambazo utapewa baada ya kulipia fedha za kiingilio na Jina la Sponsor au aliyekualika katika Kampuni. FAIDA: 1.Kila mtu unayemualika baada ya kufungua account yako utalipwa shilingi 6000, Mfano; Umeunga watu 50, itakuwa 50*6000=300000/=. 2.Kila uliyemualika, akialika watu wen...

JIUNGE NA TSU, MTANDAO KAMA FACEBOOK NA ULIPWE KUTOKANA NA JINSI UNAVYOCHATI

  Ni dhahiri kwamba tupo kwenye ulimwengu wa sayansi na tekinolojia, Hivyo hata jinsi tunapata hela kwa ajili ya maisha yetu, zinabadilika sana.Maadamu tupo kwenye ulimwengu huu, hatuna budi kubadilika na kuendana nao. Jiunge na Mtandao mpya kama Facebook uitwao TSU ambao utakuwezesha kulipwa kwa jinsi unavyochati na kuwa na idadi kubwa ya marafiki. KUJIUNGA ni BURE na rahisi sana. Tembelea mtandao ufuatao; https://www.tsu.co/KingLex Ni hivyo tuu.Hii ndio sehemu pekee tunaongelea maisha halisi. UNGANA NASI FACEBOOK KWA KULIKE PAGE YETU

TAZAMA NA DOWNLOAD VIDEO MPYA YA DAVIDO Ft DJ ARAFAT HAPA

Hii ndio video mpya ya Msanii Davido kutoka Nigeria akishirikiana na Msanii aitwae DJ Arafat. We icheki mwenyewe afu tupia maoni yako hapa chini. USISAHAU KULIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK KWA HABARI ZAIDI

JINSI YA KUZUIA UGONJWA WA KISUKARI KWA TIBA ASILIA(MATUNDA NA VYAKULA)

Ugonjwa wa Kisukari, umekuwa tishio sana kwa siku za karibuni. Ugonjwa huu mara nyingi ulikuwa hausikiki kwa vijana na watoto lakini sasa hivi, umekuwa ukiwapata watu wa rika zote. Ugonjwa huu wa Kisukari unaweza kusababisha madhara mengi mwilini ikiwemo matatizo ya figo kushindwa kufanya kazi. Zifuatazo ni njia mbalimbali za asili ambazo zinaweza kutumiwa kuzuia ugonjwa huu wa kisukari; 1.Kula vyakula vya aina tofauti ikiwemo mboga mboga na matunda kwa wingi. 2.Kula nyama nyeupe na samaki, epuka mafuta mwilini. 3.Epuka vyakula vyenye mafuta mengi mwilini. 4.Fanya mazoezi ya mwili mara kwa mara kama vile kukimbia, kuogelea, kutembea umbali mrefu n.k 5.Kunywa maji mengi mara kwa mara, yaliyo safi na salama. Unashauriwa kunywa zaidi ya lita 3 kwa siku. 6.Kula mlo wenye lishe kamili kama Wanga, Vitamini na Protini.Hii itasaidia kuweka wastani wa sukari katika damu yako. 7.Ongeza matumizi ya vitunguu. Hivi husaidia kupunguza sukari mwilini. K...

LIPWA ZAIDI YA DOLA 100 KWA MWEZI KWA KUCHATI KWENYE MTANDAO MPYA KAMA FACEBOOK UITWAO TSU

Facebook ni mtandao mkubwa duniani ambao unatengeneza mamilioni ya pesa kwa sekunde kadhaa.Fedha hizi wanazotengeneza Facebook huwa wanazitumia wenyewe na bila kuwagawia watumiaji wake hata kidogo. Lakini leo team nzima ya MAISHA HALISI inakupa mtandao mwingine mpya unaofanya kazi kama Facebook lakini kikubwa na cha tofauti ni kwamba, Mtandao huu unachukua 10% ya faida na kuwarudishia watumiaji wake 90%. Mtandao huu hukusanya mapato kutoka kwenye Gharama za matangazo. Hivyo kujiunga kwenye mtandao huu ni buree kama ilivyo facebook, sema huku utalipwa kutokana na idadi ya POST, Like, Comment, Idadi ya marafiki ulionao, pamoja na picha unazoupload. Pata zaidi ya dola 100 kwa mwezi, kwa kupitia mtandao huu. Kujiunga ni rahisi sana, tembelea mtandao huu, https://www.tsu.co/KingLex  kisha jaza na fuata maelezo. Ni rahisi na utafurahia mwenyewe. PIGA HELA KWA KUCHATI. Usisahau, kujiunga tembelea mtandao huu hapa; https://www.tsu.co/KingLex ...