Skip to main content

NI RAHISI, PATA ZAIDI YA 50000/= KWA SIKU KWA BIASHARA MPYA MTANDAONI,BOFYA KUJUA ZAIDI

TZ CashLineUp Network Marketing ni mtandao ambao unakuwezesha kujiinua kiuchumi mahali popote ulipo Tanzania endapo tuu utakua na vitu vichache ambavyo ni Email, Internet kupitia Simu au Computer na akaunti ya Mpesa tuu.

TZ CashLineUp Network marketing ni mtandao ambao mtu unajiunga kwa TSH 12000/= tuu, yaani shilingi efu kumi na mbili tuu.Ambayo hulipwa kwa kutumia Mpesa kwenda namba ambazo Sponsor au aliyekualika kwenye mtandao atakutumia.

Unapolipa kiingilio hiki kwa mara moja tuu, utapewa Codes, au tarakimu ambazo utazitumia kufungua account yako mpya kwenye mtandao huu.

Kufungua account ni rahisi sana na inahitaji, email, namba ya simu, jina lako kamili, Jina ambalo utapenda kutumia, Codes ambazo utapewa baada ya kulipia fedha za kiingilio na Jina la Sponsor au aliyekualika katika Kampuni.

FAIDA:

1.Kila mtu unayemualika baada ya kufungua account yako utalipwa shilingi 6000, Mfano; Umeunga watu 50,

itakuwa 50*6000=300000/=.

2.Kila uliyemualika, akialika watu wengine unalipwa 3000@mtu mmoja.

3.Pia baada ya muda fulani, ukiwa na watu wengi kwenye Line(mstari wako wa fedha) basi utalipwa shilingi 4000@mtu mmoja. Hivyo kama una watu 100 chini yako, utapata Tsh 4,000,000.

4.Faida ni nyingi sana unaweza kujua mengi zaidi ukitembelea mtandao huu,http://tz.cashlineup.com/?r=LEX

Kutafuta fedha kwa jinsi hi ni rahisi na unaweza kufanya ukiwa umeajiriwa, umejiajiri au hata kama unasoma.

Usidanganyike wala usiogope, ni njia nzuri na ndio biashara mpya za karne ya 21. Tumia muda na marafiki zako vizuri kutengeneza mafanikio yako kiuchumi.

MWISHO.

1.Kwa mwenye moyo wa dhati wa kujiunga na Kampuni hii, tafadhali wasialiana nasi kwa kutumia Ujumbe mfupi wa maandishi(SMS)

2.Mawasiliano haya yatakuwezesha kupata Namba za kampuni za Mpesa ambazo, utawapigia kwanza kabla hujatuma hela ili kuhakikisha kuwa wanapatikana, ukipata uhakika, ndipo utatuma fedha na utatumiwa CODES ambazo zitakuwezesha kufungua account kwenye mtandao wa Kampuni;http://tz.cashlineup.com/?r=LEX

3. Pia kwa mawasiliano haya utapewa Jina la Sponsor ambalo utalitumia pia kutengeneza akaunti yako.

KUMBUKA; Kwenye network marketing wa Kwanza kuwahi ndio anafaida zaidi. TUMIA NAFASI HII MAPEMA. USIPOTUMIA WEWE WATATUMIA WENGINE ALAFU WATAKUUNGA MWISHONI. 

KAMPUNI HII KWA SASA HAIFANYI KAZI TENA

Comments

Popular posts from this blog

AINA MBALIMBALI ZA JUICE ZA MATUNDA, NA FAIDA ZAKE KAMA DAWA MWILINI

Matunda ya asili ni tiba asilia. Pia mchanganyiko wa matunda haya asilia huweza kutengeneza juice tamu ambayo pia huweza kuwa tiba asilia. Zifuatazo ni baadhi ya Juice ambazo unaweza tengeneza wewe mwenyewe hapo nyumbani na zikawa ni kama tiba kwako; TUFAHA NA TANGO LA KAWAIDA Juisi yenye mchanganyiko wa matunda haya huondoa harufu mbaya mdomoni na hupunguza joto la mwili. CHUNGWA, TANGAWIZI NA TANGO Juisi yenye mchanganyiko wa matunda haya hung’arisha rangi ya ngozi na kuifanya kuwa laini. Pia hupunguza joto la mwili. Kwa wale wenye matatizo ya kuwa na ngozi kavu, juisi hii itawasaidia sana. NANASI, APPLE NA TIKITIMAJI Juisi yenye mchanganyiko wa matunda haya hufanya kazi ya kuondoa chumvi nyingi mwilini, husafisha kibofu cha mkojo na figo. Juisi hii ni nzuri kwa wale wenye matatizo ya kibofu na figo au wanaotaka kujikinga na magonjwa hayo. APPLE, TANGO NA ‘KIWI’ Juisi yenye mchanganyiko wa matunda haya hung’arisha rangi ya ngozi. Kiwi ni ...

JUICE BORA ZA MATUNDA NA FAIDA ZAKE KATIKA KUBORESHA AFYA YA MWILI

Juisi ni kinywaji bora na maarufu duniani, lakini ni vyeme ukajua juisi ipi ina faida mwilini na ipi haina faida yoyote. Katika zama tulizonazo, kumezuka aina nyingi za vinywaji vinavyoitwa juisi, wakati si juisi bali ni vinywaji vyenye ladha ya matunda mbalimbali. Juisi ni kinywaji kilichotengenezwa kutokana na tunda halisi au mboga na si mchanganyiko wa maji na kemikali nyingine zenye ladha ya matunda na kupewa majina kama juisi ya machungwa, nanasi, zabibu, n.k. Mara nyingi vinywaji hivyo huwekewa sukari na kemikali nyingine za kuhifahdia (preservertives) ili zisiharibike, ambavyo kiafya havikubaliki. Licha ya kutumia jusi halisi kama kinywaji tu, juisi pia hutoa kinga na tiba kwa maradhi mbalimbali. Iwapo mtu atatengeneza mchanganyiko maalum wa matunda na kutayarisha juisi maalum na kuinywa, anaweza kupata kinga na tiba ya matatizo mbalimbali ya kiafya kama ilivyoanishwa hapa chini: KAROTI+ KITUNGUU SWAUMU + EPO Juisi ya mch...

AINA ZA MATUNDA YENYE KUIMARISHA NA KUONGEZA MVUTO WA NGOZI YA MWILI

  APPLE: Hili ni tunda maarufu sana duniani lihusishwalo na wapendanao, lakini tunda hili pamoja na kupewa umaarufu mkubwa duniani na kuwa na vitamini na madini kibao, pia lina kazi kubwa sana katika kukupa muonekano mzuri wa ngozi ya mwili wako.Tunda hili husaidia kuboresha mzunguko wa damu mwilini pamoja na kuhifadhi ngozi isipoteze uhalisia wake.   PAPAI: Ni tunda sahihi kabisa katika kukupa ngozi yenye mafuta, kurudishia au kuziba sehemu zilizoumia na kunyofoka katika ngozi yako. Papai pia hunga'arisha rangi ya ngozi yako, yote haya hufanyika na enzyme inayotokana papai ambayo huitwa papain. Endapo kama unataka kutumia papai katika ngozi yako ya uso, basi chukua asali changanya na papai lililo iva na paka usoni kwako kwa dakika 10 kisha safisha, kisha utaona kitakachotokea katika uso wako, utaonekana kama ngozi ya mtoto wa siku mbili.   AVOCADO: Tunda hili limekuwa maarufu sana kwa kutengenezewa juice, lakini huenda watu wakawa ha...